Hesabu 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtatoa matoleo kama hayo kila siku kwa zile siku saba kuwa mkate,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto,+ lenye harufu ya kumtuliza Yehova. Litatolewa pamoja na toleo la kuteketezwa la daima, na toleo lake la kinywaji.
24 Mtatoa matoleo kama hayo kila siku kwa zile siku saba kuwa mkate,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto,+ lenye harufu ya kumtuliza Yehova. Litatolewa pamoja na toleo la kuteketezwa la daima, na toleo lake la kinywaji.