21 Nao wakaleta ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba na wana-kondoo dume saba na mbuzi-dume saba wawe toleo la dhambi+ kwa ajili ya ufalme na kwa ajili ya patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Basi akawaambia wana wa Haruni, makuhani,+ wawatoe wawe toleo juu ya madhabahu ya Yehova.