Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Mkuu+ anapotenda dhambi naye afanye bila kukusudia moja kati ya mambo yote ambayo Yehova Mungu wake ameamuru yasifanywe,+ na kwa hiyo amekuwa na hatia,

  • Mambo ya Walawi 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Na ikiwa mtu atamtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kulipa nadhiri+ au kama toleo la hiari, atakuwa asiye na kasoro katikati ya mifugo au kundi, ili kupata kibali. Kasoro yoyote isiwe ndani yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na mfalme na watu wote walikuwa wakitoa dhabihu mbele za Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wakaleta ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba na wana-kondoo dume saba na mbuzi-dume saba wawe toleo la dhambi+ kwa ajili ya ufalme na kwa ajili ya patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Basi akawaambia wana wa Haruni, makuhani,+ wawatoe wawe toleo juu ya madhabahu ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki