7 Mwishowe Sauli akawaambia watumishi wake: “Nitafutieni mwanamke ambaye ni stadi wa kuwasiliana na pepo,+ nami nitaenda kwake nitafute shauri kutoka kwake.” Ndipo watumishi wake wakamwambia: “Tazama! Kuna mwanamke katika En-dori ambaye ni stadi wa kuwasiliana na pepo.”+