Mambo ya Walawi 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+
31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu.
6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+