3 lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitokani na Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+
7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu,+ watu ambao hawamkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili.+ Hao ndio yule mdanganyifu+ na mpinga-Kristo.+