Ufunuo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na viti vya ufalme 24, na kwenye viti hivyo vya ufalme niliona wameketi wazee 24+ waliovaa mavazi meupe, na juu ya vichwa vyao mataji ya dhahabu. Ufunuo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndiyo, ameruhusiwa kuvaa kitani bora, changavu, safi—kwa maana hicho kitani bora kinamaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+
4 Kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na viti vya ufalme 24, na kwenye viti hivyo vya ufalme niliona wameketi wazee 24+ waliovaa mavazi meupe, na juu ya vichwa vyao mataji ya dhahabu.
8 Ndiyo, ameruhusiwa kuvaa kitani bora, changavu, safi—kwa maana hicho kitani bora kinamaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+