Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 61:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nitashangilia sana katika Yehova.

      Nafsi yangu yote itashangilia katika Mungu wangu.+

      Kwa maana amenivisha mavazi ya wokovu;+

      Amenifunika kwa joho* la uadilifu,

      Kama bwana harusi anayevaa kilemba kama cha kuhani,+

      Na kama bibi harusi anayejipamba kwa mapambo yake.

  • Waefeso 5:25-27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+ 26 ili alitakase, akilisafisha na kuliosha kwa maji kupitia neno,+ 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari, bila doa au kunyanzi au lolote kati ya mambo hayo,+ bali likiwa takatifu na bila dosari.+

  • Ufunuo 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake; kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wanaoendelea kumfuata Mwanakondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwanakondoo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki