1 Wakorintho 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni Mungu+ katika mwili wenu.+ 1 Wakorintho 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mlinunuliwa kwa bei;+ acheni kuwa watumwa wa wanadamu. Ufunuo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu+ kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,+
9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu+ kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,+