Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 6:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu, mliyopokea kutoka kwa Mungu?+ Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+ 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni Mungu+ katika mwili wenu.+

  • Waebrania 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Aliingia mahali patakatifu, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe dume wachanga, bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote, na kupata ukombozi wa* milele kwa ajili yetu.+

  • 1 Petro 1:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana mnajua kwamba mliwekwa huru*+ kutoka kwenye mwenendo wenu usio na faida ambao mlipokea kutoka kwa mababu zenu,* si kwa vitu vyenye kuharibika, kwa fedha au dhahabu, 19 bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwanakondoo asiye na dosari+ na asiye na doa, ile ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki