Waebrania 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu iliyonyunyizwa, ambayo husema kwa njia bora kuliko damu ya Abeli.+ Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,
24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu iliyonyunyizwa, ambayo husema kwa njia bora kuliko damu ya Abeli.+
20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,