Zaburi 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwimbieni wimbo mpya;+Pigeni nyuzi kwa ustadi, na kupaza sauti kwa shangwe. Zaburi 144:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya.+ Nitakuimbia sifa* kwa kinanda cha nyuzi kumi, Isaya 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+ Ufunuo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee,+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa kutoka duniani.
9 Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya.+ Nitakuimbia sifa* kwa kinanda cha nyuzi kumi, Isaya 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+ Ufunuo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee,+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa kutoka duniani.
10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+
3 Nao wanaimba kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee,+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa kutoka duniani.