Zaburi 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwimbieni wimbo mpya;+Pigeni nyuzi kwa ustadi, na kupaza sauti kwa shangwe. Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo yanayostaajabisha.+ Mkono wake wa kuume, mkono wake mtakatifu, umeleta wokovu.*+ Zaburi 149:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 149 Msifuni Yah!* Mwimbieni Yehova wimbo mpya;+Msifuni katika kutaniko la washikamanifu.+ Ufunuo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu+ kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo yanayostaajabisha.+ Mkono wake wa kuume, mkono wake mtakatifu, umeleta wokovu.*+
9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu+ kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,+