Ufunuo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na viti vya ufalme 24, na kwenye viti hivyo vya ufalme niliona wameketi wazee 24+ waliovaa mavazi meupe, na juu ya vichwa vyao mataji ya dhahabu. Ufunuo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na wale wazee 24+ na wale viumbe hai wanne+ wakaanguka chini na kumwabudu Mungu anayeketi kwenye kiti cha ufalme na kusema: “Amina! Msifuni Yah!”*+
4 Kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na viti vya ufalme 24, na kwenye viti hivyo vya ufalme niliona wameketi wazee 24+ waliovaa mavazi meupe, na juu ya vichwa vyao mataji ya dhahabu.
4 Na wale wazee 24+ na wale viumbe hai wanne+ wakaanguka chini na kumwabudu Mungu anayeketi kwenye kiti cha ufalme na kusema: “Amina! Msifuni Yah!”*+