Isaya 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema: “Ah! Nitawaondoa wapinzani wangu,Nami nitalipiza kisasi dhidi ya maadui wangu.+ Isaya 59:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Atawathawabisha kulingana na matendo yao:+ Ghadhabu kwa wapinzani wake, kisasi kwa maadui wake.+ Naye atavilipa visiwa kile kinachostahili.
24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema: “Ah! Nitawaondoa wapinzani wangu,Nami nitalipiza kisasi dhidi ya maadui wangu.+
18 Atawathawabisha kulingana na matendo yao:+ Ghadhabu kwa wapinzani wake, kisasi kwa maadui wake.+ Naye atavilipa visiwa kile kinachostahili.