Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alisema hivi:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akawaangazia kutoka Seiri.

      Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+

  • Danieli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mto wa moto ulikuwa ukitiririka kutoka mbele zake.+ Elfu kwa maelfu waliendelea kumhudumia, na elfu kumi mara elfu kumi walisimama mbele zake.+ Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.

  • Zekaria 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtakimbilia kwenye bonde la milima yangu, kwa maana bonde la milima hiyo litafika mpaka Aseli. Mtalazimika kukimbia kama mlivyokimbia kwa sababu ya tetemeko la ardhi katika siku za utawala wa Mfalme Uzia wa Yuda.+ Na Yehova Mungu wangu atakuja, na watakatifu wote watakuwa pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki