Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alisema hivi:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akawaangazia kutoka Seiri.

      Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+

  • 1 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama kando yake, upande wake wa kulia na upande wake wa kushoto.+

  • Zaburi 68:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Magari ya Mungu ya vita ni makumi ya maelfu, maelfu kwa maelfu.+

      Yehova ametoka Sinai na kuingia mahali patakatifu.+

  • Waebrania 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika

  • Yuda 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+

  • Ufunuo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikaona, na kusikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kile kiti cha ufalme na wale viumbe hai na wale wazee, na idadi yao ilikuwa makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu na maelfu ya maelfu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki