Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alisema hivi:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akawaangazia kutoka Seiri.

      Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+

  • Yoeli 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Njooni msaidie, enyi mataifa yote jirani, kusanyikeni pamoja!’”+

      Ee Yehova, wateremshe mahali hapo wenye nguvu* wako.

  • Yuda 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki