Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alisema hivi: “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akawaangazia kutoka Seiri. Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+ Yoeli 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Njooni msaidie, enyi mataifa yote jirani, kusanyikeni pamoja!’”+ Ee Yehova, wateremshe mahali hapo wenye nguvu* wako. Yuda 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+
2 Alisema hivi: “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akawaangazia kutoka Seiri. Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+
11 Njooni msaidie, enyi mataifa yote jirani, kusanyikeni pamoja!’”+ Ee Yehova, wateremshe mahali hapo wenye nguvu* wako.
14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+