Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Utawashambulia kama dhoruba nawe utaifunika nchi kama mawingu, wewe na wanajeshi wako wote na mataifa mengi pamoja nawe.”’

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’*+ asema Yehova,

      ‘Mpaka siku nitakapoinuka ili kuchukua nyara,*

      Kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme,

      Niwamwagie ghadhabu yangu, hasira yangu yote inayowaka;+

      Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kweli, hayo ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki