Mambo ya Walawi 26:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini licha ya hayo yote, wakiwa katika nchi ya maadui wao, sitawakataa kabisa+ wala sitawatupa na kuwaangamiza kabisa na hivyo kulivunja agano nililofanya+ pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao. Nehemia 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+ Amosi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 ‘Tazameni! Macho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova yanautazama ufalme huu wenye dhambi,Naye atauangamiza kabisa kutoka nchini.+ Lakini sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,’+ asema Yehova.
44 Lakini licha ya hayo yote, wakiwa katika nchi ya maadui wao, sitawakataa kabisa+ wala sitawatupa na kuwaangamiza kabisa na hivyo kulivunja agano nililofanya+ pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.
31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+
8 ‘Tazameni! Macho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova yanautazama ufalme huu wenye dhambi,Naye atauangamiza kabisa kutoka nchini.+ Lakini sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,’+ asema Yehova.