Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini licha ya hayo yote, wakiwa katika nchi ya maadui wao, sitawakataa kabisa+ wala sitawatupa na kuwaangamiza kabisa na hivyo kulivunja agano nililofanya+ pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.

  • Nehemia 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+

      Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+

  • Amosi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 ‘Tazameni! Macho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova yanautazama ufalme huu wenye dhambi,

      Naye atauangamiza kabisa kutoka nchini.+

      Lakini sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki