Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+ 2 Wafalme 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hata hivyo, Yehova akawaonyesha kibali na rehema+ na kuwajali kwa sababu ya agano lake na Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+ Hakutaka kuwaangamiza, naye hajawatupa mbali kutoka mbele zake* mpaka leo. Nehemia 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+
31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+
23 Hata hivyo, Yehova akawaonyesha kibali na rehema+ na kuwajali kwa sababu ya agano lake na Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+ Hakutaka kuwaangamiza, naye hajawatupa mbali kutoka mbele zake* mpaka leo.
31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+