1 Wafalme 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Dhambi hiyo ya nyumba ya Yeroboamu+ ilisababisha waharibiwe na kuangamizwa kutoka duniani.+ 2 Wafalme 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha mfalme wa Ashuru akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+
11 Kisha mfalme wa Ashuru akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+