-
2 Wafalme 13:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Katika mwaka wa 23 wa utawala wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu+ akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 17. 2 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, na kuendelea kutenda dhambi ya Yeroboamu mwana wa Nebati aliyosababisha Waisraeli kutenda.+ Hakugeuka na kuiacha.
-