Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi huyo aliye hai na kuungama juu yake makosa yote ya Waisraeli na maovu yao yote na dhambi zao zote, ataziweka juu ya kichwa cha mbuzi+ huyo na kumwagiza mtu aliyechaguliwa* ampeleke mbuzi huyo nyikani. 22 Mbuzi huyo atazibeba dhambi zao zote+ na kuzipeleka jangwani,+ mtu huyo atampeleka mbuzi huyo na kumwacha aende zake nyikani.+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+

      Nami sitazikumbuka dhambi zako.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na jirani yake na kila mtu na ndugu yake, wakisema, ‘Mjue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, nami sitaikumbuka tena dhambi yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki