Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+

      Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+

      Aliibeba adhabu ili tupate amani,+

      Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+

       6 Sisi sote tumetangatanga kama kondoo,+

      Kila mmoja ameifuata njia yake mwenyewe,

      Na Yehova amefanya dhambi yetu sote ikutane naye.+

  • 2 Wakorintho 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yule ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi* kwa ajili yetu, ili kupitia yeye tuwe uadilifu wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki