5 Lakini alichomwa+ kwa sababu ya makosa yetu;+
Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+
Aliibeba adhabu ili tupate amani,+
Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+
6 Sisi sote tumetangatanga kama kondoo,+
Kila mmoja ameifuata njia yake mwenyewe,
Na Yehova amefanya dhambi yetu sote ikutane naye.+