Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,

      Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,

      Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+

      Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+

      Aliibeba dhambi ya watu wengi,+

      Naye aliwatetea wakosaji.+

  • Waefeso 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.

  • Waebrania 9:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili atakapotokea itakuwa bila dhambi,* naye ataonwa na wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+

  • 1 Petro 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+

  • 1 Yohana 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mnajua pia kwamba alifunuliwa ili kuondoa dhambi zetu,+ na hakuna dhambi ndani yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki