Isaya 53:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+
5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+