Isaya 53:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+ Waroma 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kifo alichokufa, alikufa kuhusiana na dhambi* mara moja kwa wakati wote,+ lakini uhai anaoishi, anaishi kuhusiana na Mungu. 1 Petro 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+
10 Kwa maana kifo alichokufa, alikufa kuhusiana na dhambi* mara moja kwa wakati wote,+ lakini uhai anaoishi, anaishi kuhusiana na Mungu.
24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+