Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+

      Naye atakuinua uimiliki dunia.+

      Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+

  • Zaburi 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tena, akatia wimbo mpya katika kinywa changu,

      Sifa kwa Mungu wetu.+

      Wengi wataona hilo na kuogopa,+

      Nao watamtegemea Yehova.+

  • Zaburi 119:120
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+

      Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+

  • Malaki 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na macho yenu wenyewe yataona hilo, nanyi mtasema: “Yehova na atukuzwe juu ya eneo la Israeli.” ’ ”+

  • Ufunuo 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki