Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Zaburi 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tena, akatia wimbo mpya katika kinywa changu,Sifa kwa Mungu wetu.+Wengi wataona hilo na kuogopa,+Nao watamtegemea Yehova.+ Zaburi 119:120 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+ Malaki 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na macho yenu wenyewe yataona hilo, nanyi mtasema: “Yehova na atukuzwe juu ya eneo la Israeli.” ’ ”+ Ufunuo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
3 Tena, akatia wimbo mpya katika kinywa changu,Sifa kwa Mungu wetu.+Wengi wataona hilo na kuogopa,+Nao watamtegemea Yehova.+
120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+
5 Na macho yenu wenyewe yataona hilo, nanyi mtasema: “Yehova na atukuzwe juu ya eneo la Israeli.” ’ ”+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+