Kumbukumbu la Torati 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki. Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Zaburi 63:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+ Zaburi 68:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini waadilifu, na washangilie,+Na wasisimuke mbele za Mungu,+Na wafurahie kwa shangwe.+ Wafilipi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+
7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+
5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+