Kumbukumbu la Torati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki; Kumbukumbu la Torati 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Utakapokuwa umeingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, usijifunze kufanya kulingana na machukizo ya mataifa hayo.+
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;
9 “Utakapokuwa umeingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, usijifunze kufanya kulingana na machukizo ya mataifa hayo.+