26 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ nanyi msifanye lolote la mambo hayo yenye kuchukiza, iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.+
30 Jiangalie usije ukanaswa na kuwafuata,+ baada ya wao kuangamizwa kutoka mbele yako, nawe usije ukauliza kuhusu miungu yao, na kusema, ‘Mataifa haya yalikuwa yakiitumikiaje miungu yao? Nami, naam, mimi nitafanya vivyo hivyo.’