6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+
9 Yehova atakuweka kuwa kikundi chake kitakatifu cha watu,+ kama vile alivyokuapia,+ kwa sababu uliendelea kushika amri+ za Yehova Mungu wako, nawe umetembea katika njia zake.