Zaburi 50:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kila mnyama wa mwituni ni wangu,+Wanyama walio juu ya milima elfu moja.+ Zaburi 51:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hupendezwi na dhabihu—kama sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na toleo zima la kuteketezwa.+ Ezekieli 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe ukawa ukiyachukua mavazi yako yaliyopambwa na kuzifunika; na mafuta yangu na uvumba+ wangu ukawa ukiweka mbele yake.
18 Nawe ukawa ukiyachukua mavazi yako yaliyopambwa na kuzifunika; na mafuta yangu na uvumba+ wangu ukawa ukiweka mbele yake.