Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 40:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Hukupendezwa na dhabihu na toleo;+

      Haya masikio yangu uliyafungua.+

      Hukutaka toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi.+

  • Zaburi 50:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mimi siwakaripii kuhusiana na dhabihu zenu,+

      Wala kuhusiana na matoleo yako mazima ya kuteketezwa yaliyo mbele zangu daima.+

  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?” asema Yehova. “Nimetosheka na matoleo mazima ya kuteketezwa+ ya kondoo-dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri;+ nami sikupendezwa na damu+ ya ng’ombe-dume wachanga na wana-kondoo na mbuzi-dume.+

  • Yeremia 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana sikusema na mababu zenu, wala sikuwaamuru wao katika siku nilipowatoa katika nchi ya Misri, kuhusu mambo ya toleo zima la kuteketezwa na dhabihu.+

  • Amosi 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini ninyi mkinitolea matoleo mazima ya kuteketezwa,+ hata katika matoleo yenu ya zawadi sitapata furaha,+ wala sitatazama dhabihu zenu za ushirika za vinono.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki