11 Na wanaume 70+ wazee wa nyumba ya Israeli, pamoja na Yaazania mwana wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao, walikuwa wamesimama mbele ya hiyo, kila mmoja akiwa na chetezo chake mkononi mwake, na manukato ya wingu la uvumba yalikuwa yakipaa.+
41 Nawe ukaketi juu ya kitanda chenye utukufu,+ pamoja na meza iliyowekwa kwa utaratibu mbele yake,+ nawe ukaweka juu yake uvumba+ wangu na mafuta+ yangu.