Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kulikuwa na vitambaa vya kitani, vya pamba bora na bluu+ vimefungwa imara katika kamba za kitambaa laini, na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau+ katika pete za fedha na nguzo za marumaru, vitanda+ vya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya mawe mekundu na marumaru na lulu na marumaru nyeusi.

  • Isaya 57:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Uliweka kitanda chako juu ya mlima mrefu na ulioinuka.+ Ulienda hapo pia kutoa dhabihu.+

  • Amosi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao hujinyoosha+ kando ya kila madhabahu+ juu ya mavazi yaliyotwaliwa kama rehani; na divai ya wale ambao wametozwa wao huinywa katika nyumba ya miungu yao.’+

  • Amosi 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninyi watu mnaojilaza katika vitanda vya pembe za tembo+ na kujitandaza katika vitanda vyao, na mnaokula kondoo-dume kati ya kundi na ng’ombe-dume wachanga kutoka kati ya ndama waliononeshwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki