Esta 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Mordekai akatoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme+ ya bluu na kitani, taji kubwa la dhahabu, na kanzu ya kitambaa laini,+ ya sufu iliyotiwa rangi ya zambarau.+ Na jiji la Shushani likapaaza sauti na kushangilia.+
15 Naye Mordekai akatoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme+ ya bluu na kitani, taji kubwa la dhahabu, na kanzu ya kitambaa laini,+ ya sufu iliyotiwa rangi ya zambarau.+ Na jiji la Shushani likapaaza sauti na kushangilia.+