Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kisha Farao akaivua pete yake rasmi ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akaiweka mkononi mwa Yosefu na kumvalisha mavazi ya kitani bora, naye akaweka mkufu wa dhahabu shingoni mwake.+

  • Esta 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na walete mavazi ya kifalme+ ambayo mfalme huvaa na farasi ambaye mfalme hupanda+ ambaye amevikwa taji la kifalme juu ya kichwa chake.

  • Luka 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Lakini mtu+ fulani alikuwa tajiri, naye alikuwa akijipamba kwa mavazi ya zambarau na kitani, akijifurahisha siku baada ya siku kwa fahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki