Mwanzo 41:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kisha Farao akaivua pete yake rasmi ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akaiweka mkononi mwa Yosefu na kumvalisha mavazi ya kitani bora, naye akaweka mkufu wa dhahabu shingoni mwake.+ Esta 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na walete mavazi ya kifalme+ ambayo mfalme huvaa na farasi ambaye mfalme hupanda+ ambaye amevikwa taji la kifalme juu ya kichwa chake. Luka 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Lakini mtu+ fulani alikuwa tajiri, naye alikuwa akijipamba kwa mavazi ya zambarau na kitani, akijifurahisha siku baada ya siku kwa fahari.+
42 Kisha Farao akaivua pete yake rasmi ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akaiweka mkononi mwa Yosefu na kumvalisha mavazi ya kitani bora, naye akaweka mkufu wa dhahabu shingoni mwake.+
8 na walete mavazi ya kifalme+ ambayo mfalme huvaa na farasi ambaye mfalme hupanda+ ambaye amevikwa taji la kifalme juu ya kichwa chake.
19 “Lakini mtu+ fulani alikuwa tajiri, naye alikuwa akijipamba kwa mavazi ya zambarau na kitani, akijifurahisha siku baada ya siku kwa fahari.+