Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Kwa maana zamani nilivunja nira yako vipande-vipande;+ nilizikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” kwa maana ulikuwa umelala huku umejinyoosha+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ukifanya ukahaba.+

  • Ezekieli 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe ukachukua sehemu ya mavazi yako na kujifanyia mwenyewe mahali pa juu+ penye rangi mbalimbali nawe ukawa ukifanya ukahaba juu yake+—mambo hayo hayaingii, na hayapasi kutukia hivyo.

  • Ezekieli 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao wana wa Babiloni wakaendelea kumjia, kwenye kitanda cha wonyesho wa upendo, na kumtia unajisi kwa uasherati wao;+ nao wakaendelea kumtia unajisi, nayo nafsi yake ikaanza kugeukia mbali nao kwa kuchukizwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki