23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+
11 Yeye pia alikuwa ametengeneza mahali pa juu+ katika milima ya Yuda, ili awasababishe wakaaji wa Yerusalemu kufanya uasherati,+ na ili afukuzie Yuda mbali.+