Ezekieli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ukachukua baadhi ya mavazi yako na kutengeneza mahali pa juu penye rangi mbalimbali ambapo ulifanyia ukahaba+—mambo hayo hayapaswi kufanywa, wala hayapaswi kutendeka kamwe. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:16 Ibada Safi, kur. 165-167
16 Ukachukua baadhi ya mavazi yako na kutengeneza mahali pa juu penye rangi mbalimbali ambapo ulifanyia ukahaba+—mambo hayo hayapaswi kufanywa, wala hayapaswi kutendeka kamwe.