22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;
6 Nitamkaribia Yehova na nini?+ Nitajiinamisha na nini kwa Mungu aliye juu?+ Je, nimkaribie na matoleo mazima ya kuteketezwa,+ na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?