1 Samweli 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na sasa, tafadhali, isamehe+ dhambi yangu, na urudi pamoja nami ili nisujudu+ mbele za Yehova.” Isaya 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+ Mathayo 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, bali moyo wao umepelekwa mbali nami.+
13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+