Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “‘Ila tu hakuna kitu chochote kilichotolewa wakfu ambacho huenda mtu akamtolea Yehova kwa ajili ya uharibifu+ kutoka katikati ya vyote vilivyo vyake, iwe ni kutoka kwa wanadamu au wanyama au kutoka katika shamba lililo mali yake, kitakachouzwa, wala hakuna aina yoyote ya kitu kilichotolewa ambacho kitanunuliwa.+ Hicho ni kitu kitakatifu zaidi kwa Yehova.

  • Yoshua 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na wana wa Israeli hawataweza kusimama juu ya adui zao.+ Watawageuzia mgongo adui zao, kwa sababu wamekuwa kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa. Sitakuwa pamoja nanyi tena isipokuwa mharibu kutoka katikati yenu kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.+

  • 1 Samweli 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe Sauli akasema: “Leteni karibu nami dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika.” Basi akaitoa dhabihu ya kuteketezwa.+

  • Methali 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+

  • Methali 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuna njia ambayo imenyooka mbele ya mwanadamu,+ lakini njia za kifo ndizo mwisho wake baadaye.+

  • Methali 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki