Kutoka 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Haruni akasema: “Hasira ya bwana wangu isiwake. Wewe mwenyewe unawajua vema watu hawa, ya kwamba wana mwelekeo mwovu.+ 1 Samweli 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Sauli akasema: “Wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, kwa sababu watu+ waliwahurumia wanyama walio bora zaidi wa kundi na mifugo, kwa kusudi la kutoa dhabihu kwa Yehova, Mungu wako;+ lakini vitu vilivyobaki tumeviangamiza.”
22 Basi Haruni akasema: “Hasira ya bwana wangu isiwake. Wewe mwenyewe unawajua vema watu hawa, ya kwamba wana mwelekeo mwovu.+
15 Naye Sauli akasema: “Wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, kwa sababu watu+ waliwahurumia wanyama walio bora zaidi wa kundi na mifugo, kwa kusudi la kutoa dhabihu kwa Yehova, Mungu wako;+ lakini vitu vilivyobaki tumeviangamiza.”