2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+
7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+
27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!