Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao watu wakaanza kunung’unika juu ya Musa,+ na kusema: “Tutakunywa nini?”

  • Kutoka 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nalo kusanyiko zima la wana wa Israeli likaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni huko nyikani.+

  • Kutoka 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+

  • Kumbukumbu la Torati 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki