1 Samweli 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sauli akasema: “Nimetenda dhambi. Lakini tafadhali niheshimu mbele ya wazee wa watu wangu na mbele ya Waisraeli. Rudi pamoja nami, nami nitamwinamia Yehova Mungu wako.”+
30 Sauli akasema: “Nimetenda dhambi. Lakini tafadhali niheshimu mbele ya wazee wa watu wangu na mbele ya Waisraeli. Rudi pamoja nami, nami nitamwinamia Yehova Mungu wako.”+