1 Samweli 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+ Zaburi 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+
3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+