Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami Danieli nikaona yale maono peke yangu; lakini watu waliokuwa pamoja nami hawakuona maono hayo.+ Hata hivyo, walishikwa na mtetemeko mkubwa, wakakimbia na kujificha.

  • Amosi 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

  • 1 Yohana 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna woga katika upendo,+ lakini upendo mkamilifu hutupa woga nje,+ kwa sababu woga hutokeza kizuizi. Kwa kweli, yeye ambaye yuko chini ya woga hajakamilishwa katika upendo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki