7 Nami Danieli nikaona yale maono peke yangu; lakini watu waliokuwa pamoja nami hawakuona maono hayo.+ Hata hivyo, walishikwa na mtetemeko mkubwa, wakakimbia na kujificha.
3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.
18 Hakuna woga katika upendo,+ lakini upendo mkamilifu hutupa woga nje,+ kwa sababu woga hutokeza kizuizi. Kwa kweli, yeye ambaye yuko chini ya woga hajakamilishwa katika upendo.+