Danieli 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni mimi Danieli, peke yangu, niliyeona maono hayo; wanaume waliokuwa pamoja nami hawakuyaona.+ Hata hivyo, walishikwa na hofu kubwa, wakakimbia na kujificha.
7 Ni mimi Danieli, peke yangu, niliyeona maono hayo; wanaume waliokuwa pamoja nami hawakuyaona.+ Hata hivyo, walishikwa na hofu kubwa, wakakimbia na kujificha.